Tuesday, April 17, 2012

AHMED OSAMA UPO WAPI KAKA YANGU?

Kama sijakosea ilikua mwezi wa kumi na mbili 2010 mara ya mwisho kukutana na huyu mtu ndani ya ndege,tena hakuna aliomwambia mwenzie anasafiri duh noma.mpaka leo sijamuona inakua ni nini kaka tutafutane mkubwa.