Friday, April 27, 2012

DAH HIKI KILIO CHA LULU KINAELEZA JAMBO SEMA HAKUNA ANAEMSIKILIZA

Kiukweli kabisa ukimtazama hapa Lulu utajua kabisa ndani ya moyo wake si bule analo anachokililia kwa uchungu ila hakuna wakumsikiliza,Maana mtendaji husika wa jambo tena wa mauaji kufikia hatua ya kutoa chozi la hisia kama hili ni hadimu sana.Ila usijali mdogo wangu mungu siku zote anasimama na kwenye haki ya mtu Inshallah kwako atasimama na tutagongana kitaa kama kawa,pia tunawaomba wahusika haki isimame vizuri bila kuongezeka lolote ili huyu mtoto aipate haki yake.